Mtoto aponywa \live\ kupitia mwili wa Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo
Tarikh: 13/02/2014 22:39   - Oleh: bambatz   - 153 Views   - Kategori: Pelbagai
Mtoto huyu ameponywa \live-live\ kupitia mwili wa Mtume na Nabii Hebron wa Kanisa la YESU NI BWANA NA MWOKOZI WA MATAIFA YOTE katika ibada ya siku ya Jumapili. Huduma hii hutolewa bure na ni papo kwa hapo