News : Timu ya Harambee stars yawasili kutoka Kampala
Data: 09/12/2012 14:09   - Da: bambake   - 630 Visto   - Categoria: Vario
Kocha James Nandwa ameomba serikali na shirikisho la kandanda nchini FKF kuwapa makocha wa Kenya nafasi ya kuongoza timu za humu nchini. akizungumza katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta walipowasili kutoka kampala Uganda